Kukua katika Imani

Mapenzi ya Mungu ni kila muumini, mmoja mmoja, akue na kufika katika kiwango cha imani, nguvu na neema aliyokuwa-nayo BWANA wetu Yesu Kristo. Ndio maana “… alitoa wengine kuwa Mitume, Manabii, Wachungaji, Wainjilisti na Waalimu, kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu [wote], ili mwili wa Kristo [Kanisa] ujengwe, hata na sisi sote [kama waumini], tukue na […]

Continue reading

Vita vya Kiroho

Vita vya Kiroho ni mfululizo wa masomo sita (6) yanayofundisha namna ya kupigana vita katika ulimwengu wa kiroho ili kupata ushindi utakaowezesha kutawala ulimwengu wa kimwili. Mafundisho haya yanapatikana katika CD na DVD

Continue reading

Mkristo na Uchumi

Mkristo na Uchumi ni mfululizo wa masomo sita (6) yanayofundisha namna ya kutumia kanuni za kiuchumi zilizoko katika biblia ili kufanikiwa kwa namna inayompendeza Mungu. Mafundisho haya yanapatikana katika CD na DVD

Continue reading

Kanuni za Ushindi

Kanuni za ushindi ni mfululizo wa masomo sita (6) yanayofundisha namna ya kutawala ulimwengu wa kimwili kwa kufanya mabadiliko (kuathiri) katika ulimwengu wa kiroho kuhusu jambo unalotaka kupata ushindi. Mafundisho haya yanapatikana katika CD na DVD

Continue reading